Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza naViongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za
Asia na Afrika (AALCO)
ambao wanahudhuria mkutano wa 58 unaofanyika hapa nchini kwa siku 5
ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi wanachama 49
na mashirika mbali mbali walipomtembelea ikulu jijini Dar es Salaam. Oktoba 23, 2019.
RaiswaJamhuriyaMuunganowa
Tanzania MheshimiwaDkt. John PombeMagufuliakiwakatikapichayapamojanaRaiswa
AALCO aliyechaguliwakatikamkutanohuuMhe. BaloziDkt. Augustine Mahiga (WaziriwaSherianaKatiba, Tanzania), MakamuwaRaiswa AALCO
aliyechaguliwakatikamkutanohuu Prof. MohamadShalaldeh (WaziriwaSheriawaPalestina), KatibuMkuuwa AALCO Prof. Kennedy
Gastorn (Tanzania) naNaibuMakatibuWakuuwa AALCO
watatuambaoniBw. Yukihiro Takeya (Japan), Bi. Wang
Liyu (China) na Dr. Ali Garshasbi (Iran)pamojanaAmonMpanjuNaibukatibumkuuWizarayaKatibanaSheria(Tanzania),
ambaowanahudhuriamkutanowa
58 unaofanyikahapanchinikwasiku 5 ukiwakutanishawajumbekutokanchiwanachama 49
namashirikambalimbaliwalipomtembeleaikulujijini Dar es Salaam. Oktoba 23, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Naibu Waziri wa
Mambo ya Nje na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC)
Ndg. Guo Yezhou aliyeambatana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Ndg. Bashiru Ally Kakurwa na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang pamoja na Kanali Ngamela Lubinga Katibu wa
NEC siasa na Uhusiano wa Kimatifa wa Ccm ikulu jijini Dar es Salaam. Oktoba
23, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa.Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa
Mambo ya Nje na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC)
Ndg. Guo Yezhou aliyeambatana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Ndg. Bashiru Ally Kakurwa na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang na Kanali Ngamela Lubinga Katibu wa
NEC siasa na Uhusiano wa Kimatifa wa CCM mara baada ya mazungumzo yao ikulu jijini
Dar es Salaam. Oktoba 23, 2019
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment