Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Awasili Kisiwani Pemba Kwa Ziara leo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.Mhe. Hemed Suleiman Abdalla, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani Pemba, kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.Mhe.Omar Othman Khamis,Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi na Makamu Mwenyekiti wa UWT.Bi. Thuwaiba Editon 
////RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani Pemba, kushoto Makamu Mwenyekiti wa UWT.Bi. Thuwaiba Editon Kisasi


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.