RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.Mhe. Hemed Suleiman Abdalla,
alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani
Pemba, kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.Mhe.Omar Othman Khamis,Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi na Makamu Mwenyekiti wa
UWT.Bi. Thuwaiba Editon
////RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi,
alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani
Pemba, kushoto Makamu Mwenyekiti wa UWT.Bi. Thuwaiba Editon Kisasi
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment