Habari za Punde

Rais Dkt.John Magufuli Amjulia Hali Bwa.Gervace Makoye Katibu wa CCM wa Wilaya ya Mbogwe. Aliyewai Kuwa Katibu kwa Miaka 10 Wakati Mhe. Magufuli Alipokuwa Mbunge. Anayepatiwa Matibabu Nyumbani Kwake Mtaa wa Kalema Mjini Chato

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Bw. Gervace Stephano Makoye katibu wa Ccm wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita alipomtembelea ili kumjulia hali nyumbani kwake Chato. Disemba 22, 2019. Bw. Makoye aliyewahi kuwa katibu wa Mhe. Magufuli kwa miaka 10 wakati akiwa Mbunge wa Chato anaendelea na matibabu nyumbani kwake katika Mtaa wa Kalema Chato Mjini Mkoani Geita.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.