Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Ali Mohamed Shein akiondoa kipazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Wingwi Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni shamshamra za kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya mradi huo wingwi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mshauri Elekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wingwi kutoka kampuni ya Agress Africa Ltd Ndg.Peter Lazaro Pemba, wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi huo ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (kulia kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma na Waziri wa Afya Mhe. Hamad Rashid Mohammed na (kushoto kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Eng. Dkt. Idrisa Muslim
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Mshauri Elekezi wa Mradi wa Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wingwi kutoka kampuni ya Agress Africa Ltd Ndg.Peter Lazaro Pemba, wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi huo ikiwa
ni shamrashamra za kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (kulia kwa
Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma na Waziri wa
Afya Mhe. Hamad Rashid Mohammed na (kushoto kwa Rais) Katibu Mkuu Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Amali Eng. Dkt. Idrisa Muslim
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza
na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Mohammed
Aboud Mohammed, wakati wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Skuli ya
Sekondari Wingwi Mkoa wa Kaskazini Pemba
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akimpongeza Mtoto Fatma Hamad Juma,Mwanafunzi wa Skuli ya Msingi Konde
aliyeshiriki katika kuimba wimbo Maalum na kutowa Salamu za Watoto wakati wa
hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la Skuli ya Sekondari Wingwi Mkoa wa
Kaskazini Pemba
WAZIRI
wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar. Zanzuibar Mhe. Riziki Pembe Juma akizungumza wakati
wa hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wingwi
Mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni shamrashamra za kusherehekea Miaka 56 ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
akihutubia wakati wa hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi ujenzi wa Skuli ya
Sekondari ya Wingwi Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni shamrashamra za
kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar, (kulia kwa Rais ) Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Mohammed Aboud Mohammed
na (kushoto kwa Rais ) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki
Pembe Juma
WANANCHI
wa Kijiji cha Wingwi wakifuatilia hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Skuli
ya Sekondari ya Wingwi Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni shamrashamra za
kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.hafla hiyo imefanyika katika
viwanja vya Skuli hiyo
WANANCHI
wa Kijiji cha Wingwi wakifuatilia hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Skuli
ya Sekondari ya Wingwi Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni shamrashamra za
kusherehekea Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar.hafla hiyo imefanyika katika
viwanja vya Skuli hiyo
No comments:
Post a Comment