Daraja la Dk. Shein kibondemzungu likitowa huduma na mkombozi kwa Wananchi wanaotumia barabara hiyo baada ya kukamilika kwa ujenzi huo na kuweza kupitika kwa nyakati zote za kipindi cha mvua, kama linavyoonekana pichani
Waandishi wanaogombea ubunge, udiwani wapigwa pini, watakiwa kujiondoa
vyumba vya habari
-
Na Seif Mangwangi, Arusha
KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Oktoba mwaka huu 2025,
Baraza la Habari Tanzania (MCT), limetoa mwongozo kwa ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment