Meli ya Kitalii ya Princess Cruises ikiwa na Watalii 2000 kutoka Nchi mbalimbali Duniani ilitia nanga katika Bandari ya Zanzibar, kwa ajili ya Wageni hao kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment