Meli ya Kitalii ya Princess Cruises ikiwa na Watalii 2000 kutoka Nchi mbalimbali Duniani ilitia nanga katika Bandari ya Zanzibar, kwa ajili ya Wageni hao kutembelea sehemu za Historia ya Zanzibar.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
H...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment