Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salum Ali akiwasilisha muktasari wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara yake wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, kushoto Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi.Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiongoza Kikao cha mkutano wa kuwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 / 2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndg. Juma Hassan Reli akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Wizara ya Biashara na Viwanda kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 / 2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein. (hayupo pichani)
Naibu Waziri Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Hafidh akizungumza wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara yake uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
BAADHI
ya Maofisa wa Idara za Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar wakifuatilia uwasilishwaji wa Utekelezaji wa Mpango Kazi
kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019/2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar, wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda
Zanzibar.Ndg. Juma Hassan Reli akiwasilisha mpango kazi (hayupo pichani)
BAADHI
ya Maofisa wa Idara za Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar wakifuatilia uwasilishwaji wa Utekelezaji wa Mpango Kazi
kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019/2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar, wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda
Zanzibar.Ndg. Juma Hassan Reli akiwasilisha mpango kazi (hayupo pichani)
MKURUGENZI
Biashara Ndg. Khamis Ahmada Shauri akichangia wakati wa mkutano wa Utekelezaji
wa Mpango Kazi kwa Kipindi cha cha mwezi Julai hadi Disemba 2019/2020,
uliofanyika katika ukumbi wa Ikulun Jijini Zanzibar
AFISA wa Idara ya Vipimo na Biashara Ndg. Mohammed
Mwalim . akichangia wakati wa mkutano wa
Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba
2019/2020, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ukiongozwa na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, (hayupo pichani)
No comments:
Post a Comment