Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya
Siku ya Sheria nchini iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye maadhimisho ya
Siku ya Sheria nchini iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe.
Job Ndugai baada ya hotuba yake kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini iliyofanyika
katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Februari 6, 2020 (kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma)
Jaji
Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma akizungumza mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini iliyofanyika katika ukumbi wa
mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe. Job Ndugai akizungumza
mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye
maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini iliyofanyika
katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na, Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa
Ibrahim Juma, Spika Job Ndugai ,Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Agustine Mahiga
, Jaji Mkuu wa Zanzibar Omary Othuman Makungu, Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer
Fereshi na Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe. Mbarouk Salum Mbarouk katika picha
ya pamoja na Majaji wa Mahakama Kuu kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini
katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na, Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa
Ibrahim Juma, Spika Job Ndugai ,Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Agustine Mahiga
, Jaji Mkuu wa Zanzibar Omary Othuman Makungu, Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer
Fereshi na Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe. Mbarouk Salum Mbarouk, Msajili wa
Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi katika picha ya pamoja na Viongozi wa Vyama vya Siasa kwenye
maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na, Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa
Ibrahim Juma, Spika Job Ndugai ,Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Agustine Mahiga
, Jaji Mkuu wa Zanzibar Omary Othuman Makungu, Jaji Kiongozi Dkt. Eliezer
Fereshi na Jaji wa Mahakama ya Rufani Mhe. Mbarouk Salum Mbarouk katika
picha ya pamoja na Mabalozi wanao ziwakilisha nchi mbalimbali hapa nchini kwenye
maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment