Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Mpira wa Kikapu Zanzibar Kati ya Africa Magic na New West Uwanja wa Mazo Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Africa Magic Imeshinda Kwa Vikapu 59 -48.

Mchezaji wa Timu ya New West akijaribu kuwapita wchezaji wa Timu ya Africa Magic wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Africa Magic imeshinda kwa Vikapu 59 - 48.  







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.