Mchezaji wa Timu ya New West akijaribu kuwapita wchezaji wa Timu ya Africa Magic wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Africa Magic imeshinda kwa Vikapu 59 - 48.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
17 hours ago

No comments:
Post a Comment