Mchezaji wa Timu ya New West akijaribu kuwapita wchezaji wa Timu ya Africa Magic wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar Mpira wa Kikapu uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Africa Magic imeshinda kwa Vikapu 59 - 48.
Timu ya MSLAC yatoa Elimu ya ukatili kwa wanafunzi 700 Mtukula Missenyi
-
Na Diana Byera,Missenyi
Zaidi wa wanafunzi 700 wa shule ya sekondari Mtukula Wamepewa Elimu ya
kuwasilisha na kurepoti matukio ya ukatili katika madawati...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment