RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya
Tanzania (BOT) Profesa. Florens Luoga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo na Rais akiongozana na Ujumbe wake (kulia) yaliofanyika katika wa ukumbi wa Ikulu
Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya
Tanzania (BOT) Profesa. Florens Luoga, akitowa maelezo ya fedha bandia akionesha moja ya fedha hizo noti ya shilingi elfu kumi, wakiwa katika mazungumzo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya
Tanzania (BOT) Profesa.Florens Luoga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na ujumbe
wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwa na mgeni wake Gavana wa Benki Kuu
ya Tanzania.(BOT) Profesa.Florens Luoga, wakitoka katika ukumbi baada ya kumaliza mazungumzo yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwa na mgeni wake Gavana wa Benki Kuu
ya Tanzania.(BOT) Profesa.Florens Luoga, wakibadilisha mawazo baada ya kumaliza
mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiagana na mgeni wake Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.(BOT) Profesa Florens
Luoga, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment