Mkuu wa
Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro pamoja na wasaidizi wake leo 17/06/2020
jijini Dar es salaam, wakishiriki kwa njia ya mtandao (Video Conference )
mkutano wa Jumuiya ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa Nchi za
Ukanda wa Kusini Mwa Afrika (SARPCCO)
unaojumuisha nchi 15 ikiwemo Tanzania katika mkutano wake wa kawaida wa
kiutendaji ndani ya Jumuiya hiyo .
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment