Mkuu wa
Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro pamoja na wasaidizi wake leo 17/06/2020
jijini Dar es salaam, wakishiriki kwa njia ya mtandao (Video Conference )
mkutano wa Jumuiya ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa Nchi za
Ukanda wa Kusini Mwa Afrika (SARPCCO)
unaojumuisha nchi 15 ikiwemo Tanzania katika mkutano wake wa kawaida wa
kiutendaji ndani ya Jumuiya hiyo .
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment