Mhe.Hussein Ali Hassan Mwinyi akipongezwa na Mwakilishi wa Jimbo lake la Kwahani Mhe.Ali Salum, baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa kuwania kugombea Urais wa Zanzibar katika uchaguzi Mkuu wa Zanzibar unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2020.
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment