Habari za Punde

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Wakimpongeza Mhe.Dkt,Hussein Mwinyi Kwa Ushindi Kupeperusha Bendera ya CCM Uchaguzi wa Rais wa Zanzibar.

Mhe.Hussein Ali Hassan Mwinyi akipongezwa na Mwakilishi wa Jimbo lake la Kwahani Mhe.Ali Salum, baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi wa kuwania kugombea Urais wa Zanzibar katika uchaguzi Mkuu wa Zanzibar unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2020.





No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.