Wananchi wa Jiji la Dodoma wakiwa katika harakati za kujipatia nguo katika mnada wa Soko maarufu la Mnadani kama walivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika matembezi mkoani huo hivi karibuni.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment