Habari za Punde

Wananchi Wakiwa Katika Harakati Mnadani Jijini Dodoma.

Wananchi wa Jiji la Dodoma wakiwa katika harakati za kujipatia nguo  katika mnada wa Soko maarufu la Mnadani kama walivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika matembezi  mkoani huo hivi karibuni. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.