Mafundi wa Kampuni inayojenga barabara ya kiwango cha lami kutoka Kwa nyanya hadi Bububu Polisi wakimalizia ujenzi huo kwa kuweka mzunguko katika makutano ya barabara ya mbuzi na ya kwanyanya kwenda Mjini na Mkoa wa Kaskazini Unguja, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati za ujenzi huo.
MKUTANO MKUU WA ALAT 2024; WAZIRI MCHENGERWA ATEMBELEA BANDA LA PSSSF
-
ZANZIBAR
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma umeshiriki kwenye Mkutano
Mkuu wa 38 wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT) uliofanyika ji...
56 minutes ago
No comments:
Post a Comment