Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein Amepokea Maandamano ya Wanafunzi na Walimu Maadhimishi ya Miaka 56 ya Elimu Bila Malipo Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanafunzi wa Skuli mbalimbali za Unguja na Pemba wakati wakipita kwa maandamano katika Jukwaa Kuu la Viongozi katika hafla ya Tamasha la 56 la Maadhimisho ya Elimu Bila Malipo Zanzibar lililofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe.  










 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.