Habari za Punde

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI - KISIWANI GANA, WILAYA YA UKEREWE, MKOANI MWANZA

Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye kijiji cha Kamasi, Kata ya Ilangala, Wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza, kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika kata hiyo,
Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwasilimia wananchi,baada ya kuwasili  kwenye kijiji cha Kamasi, Kata ya Ilangala, Wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza, kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika kata hiyo
Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kamasi, Kata ya Ilangala, Wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza, kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika kata hiyo
Wananchi wa kijiji cha Kamasi, Kata ya Ilangala, Wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza, wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia  kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika kata hiyo, 

Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akitembea katika mitaa ya kijiji cha Kamasi, Kata ya Ilangala, Wilaya ya Ukerewe, mkoani Mwanza, kwenye mkutano wa kampeni za CCM, katika kata hiyo, Septemba 25, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.