Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akungumza na Waandishi wa habari Akitangaza Baraza la Mawaziri leo Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitangaza Baraza lake la Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo imefanyika leo 19/11/2020, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akitangaza Baraza la Mawaziri, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar. 
VIONGOZI wa Serikali  wa kwanza  (kushoto )Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan, Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe.Saleh Juma Kinana, Ndg. Galos Nyimbo, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Mwinyi Talib Haji na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, wakifuatilia hafla ya kutangazwa  kwa Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)  hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
 
VIONGOZI wa Serikali  wa kwanza  (kushoto )Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan, Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe.Saleh Juma Kinana, Ndg. Galos Nyimbo, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Mwinyi Talib Haji na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, wakifuatilia hafla ya kutangazwa  kwa Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)  hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

BAADHI ya Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya habari vya Zanzibar na Tanzania Bara wakifuatilia kwa makini kutangazwa kwa Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar likitangazwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)  hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo

BAADHI ya Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vya habari vya Zanzibar na Tanzania Bara wakifuatilia kwa makini kutangazwa kwa Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar likitangazwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)  hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar .

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.