Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw.
Suyuph Singo akieleza kwa waandishi wa habari kuhusu mashindano ya NBC Marathon yatakayofanyika Novemba 22, 2020
Jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Kushoto ni Meneja Mahusiano na Serikali wa Benki ya
NBC Bw. William Kallaghe.
MenejaMahusianonaSerikaliwaBenkiya
NBC Bw. William
Kallagheakielezakwawaandishiwahabarikuhusumwitikiowawananchikushirikikatikamashindanoya
NBC Marathon yatakayofanyikaJijini Dodoma Novemba 22, 2020 .
.BaadhiyawaandishiwahabariwakifuatiliamkutanowakutangazamashindanoyaNBC MarathonyatakayofanyikaNovemba 22, 2020
Jijini Dodoma
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Suyuph Singo (Kulia)na Meneja Mahusiano na Serikali wa Benki ya NBC Bw. William Kallaghe wakionesha kwa waandishi wa habari tisheti zitakazotumika wakati wa mashindano ya NBC Marathon yatakayofanyika Jijini Dodoma Novemba 22, 2020 .
No comments:
Post a Comment