Habari za Punde

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Magufuli azungumza na Wabunge Wateule wa CCM Mkoani Dodoma Jana.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wabunge Wateule wa CCM katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma tarehe 09 Novemba 2020.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wabunge Wateule wa CCM katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma 


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Wabunge Wateule wa CCM mara baada ya kuzungumza naokatika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma leo tarehe 09 Novemba 2020

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.