Habari za Punde

MAJALIWA AKAGUA MRADI WA UJENZI WA MELI YA MV HAPA KAZI TU, MKOANI MWANZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Desemba 18, 2020 amekagua ujenzi wa wa Meli ya MV Hapa Kazi Tu, Mkoani Mwanza. Pichani ni muonekano wa hatua ya Meli hiyo iliyofikiwa katika ujenzi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Desemba 18, 2020 amekagua ujenzi wa wa Meli ya MV Hapa Kazi Tu, Mkoani Mwanza. Pichani ni muonekano wa hatua ya Meli hiyo iliyofikiwa katika ujenzi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Meli ya MV Hapa Kazi Tu, Desemba 18, 20209. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Meneja Mradi ujenzi wa Meli, Luteni Kanali. Vitus Mapunda, wakati akikagua ujenzi wa Meli ya MV Hapa Kazi Tu, mkoani Mwanza 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifafanuliwa jambo na Meneja Mradi ujenzi wa Meli, Luteni Kanali. Vitus Mapunda, wakati akikagua ujenzi wa Meli ya MV Hapa Kazi Tu, mkoani Mwanza 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.