Muimbaji wa Kizazi Kipya Zanzibar Sabri Mshimba (CHABI SIKSI)akitumbuiza katika hafla ya Urushwaji wa Fashfashi Usiku kuamkia siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi Maisara Wilaya ya Mjini Unguja
Wananchi mbalimbali wakiangalia Urushwaji wa Fashfashi Usiku kuamkia siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi Maisara Wilaya ya Mjini Unguja.
Wananchi mbalimbali wakiangalia Urushwaji wa Fashfashi Usiku kuamkia siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi Maisara Wilaya ya Mjini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,Hemed Suleiman Abdulla watatu kutoa kulia akiangalia pamoja na Viongozi mbalimbali na Wananchi Urushwaji wa Fashfashi Usiku kuamkia siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 57 ya Mapinduzi Maisara Wilaya ya Mjini Unguja.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment