Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia utiaji Saini wa
mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani
Shinyangakm 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC kupitia Mkurugenzi wake
Mkuu Masanja Kungu Kadogosa na Ubia wa
Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation
CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC kupitia Mtendaji
Mkuu wa CCECC Zhang Junle katika hafla
fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita leo tarehe 08
Januari 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia utiaji Saini wa
mkataba wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani
Shinyangakm 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC kupitia Mkurugenzi wake
Mkuu Masanja Kungu Kadogosa na Ubia wa
Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation
CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC kupitia Mtendaji
Mkuu wa CCECC Zhang Junle katika hafla
fupi iliyofanyika katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita
No comments:
Post a Comment