Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Fakii Abdulla baada ya kumalizika kwa hutba ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Raudha Daraja Bovu Jimbo la Shauri Moyo Jijini Zanzibar.
Waziri Dkt.Tax amkabidhi gari jipya Mkuu wa Majeshi wa Kwanza Mstaafu
Jenerali Sarakikya
-
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence
Tax (Mb) tarehe 06 Juni, 2025 amemkabidhi Mkuu wa Majeshi wa kwa...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment