Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Fakii Abdulla baada ya kumalizika kwa hutba ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Raudha Daraja Bovu Jimbo la Shauri Moyo Jijini Zanzibar.
TANZANIA YAPEWA MSAADA WA EURO MILL 10 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MITATU YA KIMAENDELEO.
-
NA MUSSA KHALID,DAR ES SALAAM
Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani imeipatia serikali ya
Tanzania msaada wa Jumla ya Euro Mill 10 sawa na Shil...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment