Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Wananchi wa Daraja Bovu Katika Sala ya Ijumaa Iliofanyika Masjid Raudha.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Fakii Abdulla baada ya kumalizika kwa hutba ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Raudha Daraja Bovu Jimbo la Shauri Moyo Jijini Zanzibar. 









 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.