Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Wananchi Katika Sala ya Kuusalia Mwili wa Marehemu Mwanahamisi Sadat Iliofanyika Katika Msikti wa Maisara Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume, MNEC Nassir na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana alipowasili katika viwanja vya Msikiti wa Maisara, kuhudhuria maziko ya Marehemu Mwanakhamis Sadat.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanaumini wa Kiislam katika Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Mwanahamis Sadat, ikiongozwa na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume, iliofanyika katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanaumini wa Kiislam katika Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Mwanahamis Sadat, ikiongozwa na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume, iliofanyika katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume, baada ya kumalizika kwa sala ya kuusalia Mwili wa Marehemu Mwanahamis Sadat, iliofanyika katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsalimiana na Mzee Burhani Sadat, baada kumalizika kwa Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Mwanahamis Sadat, iliofanyika katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar Wilaya ya Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.