Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Azungumza na Wafanyabiashara Sekta ya Usafiri na Usafirishaji Ikulu Zanzibar.


BAADHI ya Wafanyabiashara wa Sekta ya Usafiri na Usafirishaji Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa muendelezo wa mikutano yake na Wafanyabishara wa Sekta mbalimbali Zanzibar,uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
BAADHI ya Wafanyabiashara wa Sekta ya Usafiri na Usafirishaji Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa muendelezo wa mikutano yake na Wafanyabishara wa Sekta mbalimbali Zanzibar,uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MWAKILISHI wa Kampuni ya Usafiri ya Azam Marine.Ndg.Salum Azizi akichangia  katika mkutano huo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kuzungumzia changamoto zao, ikiwa ni  muendelezo wa mikutano yake kukutana na Sekta mbalimbali za Wafanyabishara Zanzibar
MFANYABIASHARA wa Kampuni ya United Africa Feeder Line Capt.Saad Shaffi  akichangia wakati wa muendelezo wa mikutano ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) na Sekta mbalimbali za Wafanyabishara Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wenye Daladala Zanzibar.Bw.Said Abdalla Suleiman,akichangia katika mkutano huo wa Wafanyabiashara ya Usafirishaji na Usafiri Zanzibar, akichangia kuhusiana na uwekeji wa vituo vya daladala katika baadhi ya maeneo, ikiwa ni muendelezo wa mikutano ya Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kuzungumza na Wafanyabiashara wa Sekta mbalimbali Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MKURUGENZI wa Kampuni ya Fast Lane Freight Ndg. Omar Hussein Mussa akichangia wakati wa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, ikiwa ni muendelezo wa kuzungumza na Sekta mbalimbali za Wafanyabiashara
MFANYABIASHAYA wa Kampuni ya Ndege ya Al Salam.Ndg.Hussein Abdulsatar, akichangia wakati wa mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake na Wafanyabiashara wa Sekta mbalimbali Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.