RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Kibanda Maiti akisalimiana na Viongozi akiwa katika ziara yake kukagua maendeleo ya ujenzi wa eneo la Soko la muda la Wafanyabiashara
ndogondogo aliloliangiza kujengwa katika eneo hilo kwa ajili ya Wafanyabishara hao.
Munekano wa mabanda ya Soko la Muda la Wafanyabishara ndogondogo yakiwa katika hatua ya mwisho ya ujenzi wake kwa ajili ya matumizi ya Biashara.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana (kushoto kwa Rais) wakati
akitembelea Soko la muda la
Wafanyabiashara ndogondogo katika eneo la Kibanda Maiti akiwa katika
ziara yake kutembelea Soko hilo linaloendelea na ujenzi wake na (kushoto kwa
Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za
SMZ.Mhe.Masoud Ali Mohammed,Waziri wa Maji na Nishati Mhe. Suleiman Masoud
Makame na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik
Ramadhan Soraga
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa akitoa maelezo ya ujenzi wa mabanda ya
wafanyabiashara ndogondogo katika eneo la Kibanda maiti Wilaya ya Mjini Unguja,
wakati wa ziara yake kutembelea eneo hilo kujionea maendeleo ya ujenzi huo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi na Wafanyabiashara
wa eneo la Kijangwani wanaotakiwa kuhamia katika eneo hilo la kibanda maiti
kufanya biashara zao, akiwa katika ziara yake kutembelea ujenzi huo.
WANANCHI wa enao la mikunguni na Wafanyabiashara
wa eneo la Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akizungumza na Wananchi hao wakati wa ziara yake kutembelea ujenzi wa eneo la
muda la Wafanyabiashara ndogondogo katika eneo la viwanja vya Kibandamaiti
Wilaya ya Mjini Unguja.
WANANCHI wa Mikunguni na Wafanyabiashara ya eneo
la Kijangwani wakinyosha mkono kuomba kuwasilisha changamoto zao wakati wa
ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein
Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiwa katika ziara yake kutembeleo eneo
linalojengwa Soko la Wafanyabiashara wadogo katika eneo la Kibanda maiti Wilaya
ya Mjini Unguja leo.
MWANANCHI wa Mikunguni Ndg.Mattar Salum akiwasilisha changamoto za usafiri na
kupatiwa nafasi katika soko hilo Vijana waliokuwa wakifanya kazi ya ulinzi
katika eneo la kibanda maiti kabla ya kujengwa kwa soko la muda la
Wafanyabishara ndogondogo, wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (haytupo pichani) wakati wa
ziara yake kutembelea ujenzi wa Soko hilo
MFANYABISHA katika eneo la Kijangwani Bi. Maryam
Abdalla akizungumza wakati wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa ziara yake
kutembelea eneo la Soko la muda kibanda maiti, linalotarajiwa kutumiwa na
Wafanyabiashara kutoka eneo la kijangwaniu kuhamia katika eneo hilo.
WAFANYABISHARA wa Kijangwani wakishangilia
wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein
Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akizungumza na Wafanyabiashara hao katika
viwanji vya Soko la Muda Kibanda maiti Wilaya ya Mjini akiwa katika ziara yake
kujionea maendeleo ya ujenzi huo
WANANCHI wa enao la mikunguni na Wafanyabiashara
wa eneo la Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akizungumza na Wananchi hao wakati wa ziara yake kutembelea ujenzi wa eneo la
muda la Wafanyabiashara ndogondogo katika eneo la viwanja vya Kibandamaiti
Wilaya ya Mjini Unguja leo 6-3-2021.
No comments:
Post a Comment