KIJANA Suleiman Said Humoud akitowa ushuhuda yaliomkuta wakati akitumia dawa za kulevya na athari alizozipata wakati wa matumizi hayo na kupata msaada kupitia Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar( RAWWAZA) na sasa ameachana na matumizi ya Dawa za Kulevya, akitowa maelezo wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimsikiliza mmoja wa shuhuda wa matumizi ya Dawa za Kulevya Ndg. Suleiman Said Humoud akitowa maelezo wakati wa uzinduzi wa Mradii wa Jumuiya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, uliozinduliwa katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na (kulia kwake) Mwenyekiti wa Taasisi ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA) Mhe. Tauhida Cassian Gallos.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa Taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii wa Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA) na Mshika Fedha wa Taasisi hiyo Bi, Valeria Rashid Haroub, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar tarehe 7-3-2021.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa Risala ya Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA) na Katibu wa Jumuiya hiyo Bi. Tatu Hussein Abdalla, wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar tarehe 7-3-2021.(Picha na Ikulu)
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar (RAWWAZA) Mhe. Tauhida Cassian Gallos, akizungumza na kutowa maelezo kabla ya kumkaribisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi kuzungumza na Wananchi na kuuzindua Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii, hafla hiyo imefanyika katika ukumbiu wa hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar tarehe 7-3-2021.(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akizungumza katika hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii Ili Kutengeneze Kesho Yako, hafla hiyo imefanyika tarehe 7-3-2021, katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Malindi Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsalimia na Mzee Omar...
-
Muonekano wa Jengo Jipya la Skuli ya Sekondari Kiwani lililojengwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kufunguliwa leo 23-4-2024 na Rais wa...
-
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka akiongea na Mabalozi katika warsha ya kutathimini utekelezaji wa Sera ya Mambo ya Nje inayo...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria ...
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela zawadi ya kikombe alipokwenda nyumbani kwa Mheshimiwa Malecela ...
-
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza katika mkutano uliotishwa na Shirika la Fedha la Kimataifa IMF na kuwak...
Home
HABARI
MATUKIO
Uzinduzi wa Mradi wa Jumuiya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii,
Uzinduzi wa Mradi wa Jumuiya Rafiki wa Wanawake na Watoto Zanzibar wa Amka Mwanangu Soma kwa Bidii,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
AGENDA YA KUTOKOMEZA MALARIA IWE YA KUDUMU KATIKA VIKAO VYA MAAMUZI - Na WAF, TABORA Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ameziasa Kamati za Ulinzi na Usalama nchini kuona umuhimu wakuifanya ajenda yakutokomeza Malaria iwe...2 hours ago
-
Maisha : Kamati ya PIC Yaridhishwa na Uwekezajia wa Jengo la PSSSF Commercial Complex - *NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID* KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (Public Investment Committee-PIC), imeridhishwa na uwekezaji wa...4 weeks ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl5 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA SITA NA DARASA LA NNE YA MWAKA 2017, JUMATATU TAREHE 29 JANUARI 2018....
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...
No comments:
Post a Comment