RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam
katika Ibada ya Sala ya Tarawekh, ikiongozwa na Ust. Abdulsalam Juma
iliyofanyika katika Masjid Sahar Kwarara
Wilaya ya Magharibi B Unguja, ikiwa ni muendelea wa Ibada ya Sala ya
Tarawekh baada ya kumalizika kwa Sala ya
Isha katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume (kushoto kwa Rais) baada ya
kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid Sahar
Kwarara Wilaya ya Magharibi B Unguja jana usiku 20-4-2021 na (kulia kwa Rais)
Ust. Abdulsalam Juma
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakiitikia dua baada
ya kumalizika kwa Sala ya Tarawekh, iliofanyika katika Masjid Sahar Kwarara Wilaya ya Magharibi B Unguja, ikisomwa
na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume.(hayupo pichani)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Waumini wa
Dini ya Kiislam baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Tarawekh, iliofanyika
katiuka Masjid Sahar Kwarara Wilaya ya Magharibi B Unguja jana usiku 20-4-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wa Kwarara wakati akiondoka
katika viwanja vya Masjid Sahar Kwarara Wilaya ya Magharibi B Unguja, baada ya
kumalizika kwa Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid hiyo jana usiku
BAADHI ya Watoto wakiwa katika viwanja vya Masjid
Sahar Kwarara baada ya kumaliza Ibada ya
Sala ya Tarawekh wakimshangilia na kumsalimia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akiondoka
katika viwanja vya msikiti wa Masjid Sahar Kwarara jana usiku 20-4-2021
No comments:
Post a Comment