Habari za Punde

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Sala ya Magharibi, ikiongozwa na Sheikh.Said Abubakar, iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja,  wakati wa hafla ya Futari Maalum aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Muazi Jongo Hassan, baada ya kumaliza kwa  Sala ya Magharibi iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja na (kulia kwa Rais)Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi) na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid Hadidi Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk., Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Futari Maalum aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo iliofanyika  katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba na Sheria Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakipata futari katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakipata futari katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kumaliza kwa Futari Maalum aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Kusini katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein,(SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Khalifa Salim Suleiman na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayupo pichani ) baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi, iliofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid Hadidi Rashid na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohamed Said, baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati akizungumza na kubadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Kusinbi Unguja Mhe Rashid Hadidi Rashid, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu  Mhe Simai Mohamed Said  na Mbunge wa Jimbo la Tungu Mhe. Khalifa Salim Suleiman, wakiwa katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA( Tunguu Wilaya ya Kati Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliofanyika katika ukumbi huo
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi iliofanyika katika ukumbi Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja na (kulia kwake) Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Mgeni Hassan Juma na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakijumuika na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu Wilaya ya Kati Unguja
RAIS w Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo, iliofanyika katika ukumbu wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu  Wilaya ya Kati Unguja.
RAIS w Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo, iliofanyika katika ukumbu wa Dk.Ali Mohamed Shein (SUZA) Tunguu  Wilaya ya Kati Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.