RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa makundi
mbalimbali wa Mkoa wa Kusini Pemba katika Futari Maalum aliyowaandalia katika
ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba, na (kulia kwa Rais)
Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mussa Mahmoud Wadi.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakijumuika
katika futari maalum ilioandalia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Wananchi wa makundi
mbalimbali katika Mkoa wa Kusini Pemba iliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha
Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akijumuika na Wanawake wa Mkoa wa Kusini Pemba katika Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja ya Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakijumuika
katika futari maalum ilioandalia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kwa Wananchi wa makundi
mbalimbali katika Mkoa wa Kusini Pemba iliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha
Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
MWANANCHI wa Wilaya ya Mkoani Bw. Omar Khamis
Othman akitowa neno la shukrani kwa niaba ya Wananchi wa Mkoa huo, wakati wa
hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika
ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahro
akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya
futari maalum aliyoianda kwa ajili ya Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba
iliofanyika katika uwanja wa Watoto Kibirinzi Chakechake Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa makundi
mbalimbali wa Mkoa wa Kusini Pemba wakati wa hafla ya futari maalum
aliyowaandalia katika kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa hafla ya futari maalum aliyowaandalia katika
ukumbi wa kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
MKALIMALI wa lugha za alama akitowa ishara kwa vitendo wakati Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum aliyowaandalia
Wananchi wa Makundi maalum katika ukumbi wa kiwanja cha Watoto Tibirinzi
Chakechake Pemba.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakiitikia dua
ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi (hayupo
pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi
Chakechake PembaWANANCHI wa Mkoa wa Kusini Pemba wakiitikia dua
ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Mahmoud Mussa Wadi (hayupo
pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi
Chakechake Pemba
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiitikia dua ikisomwa na Bi.Hidaya Omar (hayupo pichani) baada ya kumalizika
kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) na (kushoto
kwa Mama ) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena
Ahmed Said iliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake
Pemba.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiwasalimia baadhi ya Wanawake wa Mkoa wa Kusini Pemba walijumuika katika hafla
ya futari maalum walioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika
ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiwasalimia baadhi ya Wanawake wa Mkoa wa Kusini Pemba walijumuika katika hafla
ya futari maalum walioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) iliofanyika katika
ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake.
No comments:
Post a Comment