Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mazingira
Bi. Fainahappy Kimambo alipotembelea Banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika maonesho ya
Wiki ya Mazingira yanayoendelea katika viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention
Centre jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Kampeni Kabambe ya Hifadhi na Usafi wa Mazingira Mazingira,
Bw. Seif Ali Seif akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Ofisi ya Makamu wa Rais katika maonesho ya
Wiki ya Mazingira yanayoendelea katika viwanja vya Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention
Centre jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment