Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Dini na Serikali alipowasili katika viwanja vya Masjid ya Welesi Jijini Zanzibar kuhudhuria Ibada ya Sala ya Ijumaa leo 23/7/2021.
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment