Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Dini na Serikali alipowasili katika viwanja vya Masjid ya Welesi Jijini Zanzibar kuhudhuria Ibada ya Sala ya Ijumaa leo 23/7/2021.
ABSA YACHANGIA MAGEUZI YA UONGOZI WA FEDHA AFRIKA MASHARIKI
-
Dar es Salaam, Mei , 2025 — Benki ya Absa Tanzania imethibitisha kwa mara
nyingine nafasi yake kama mshirika mkuu katika maendeleo ya uongozi wa
kifedha...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment