Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi Ajumuika na Wananchi wa Welesi Katika Ibada ya Sala ya Ijumaa leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Dini na Serikali alipowasili katika viwanja vya Masjid ya Welesi Jijini Zanzibar kuhudhuria Ibada ya Sala ya Ijumaa leo 23/7/2021.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.