Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Dini na Serikali alipowasili katika viwanja vya Masjid ya Welesi Jijini Zanzibar kuhudhuria Ibada ya Sala ya Ijumaa leo 23/7/2021.
Uchaguzi : Mwenyekiti wa INEC Alivyokabidhi Hati kwa Rais na Makamu wa Rais
Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
-
[image: Mwenyekiti wa INEC, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufani Jacobs
Mwambegele amekabidhi Hati kwa Rais Mteule na Makamu wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Muun...
15 hours ago


No comments:
Post a Comment