Habari za Punde

Serikali Kupokea Dozi Milioni Moja za Chanjo ya Covid -19

Marekani Imeipatia Tanzania Dozi Milioni 1 ya Chanjo za COVID-19 ambazo ni msaada kupitia mpango wa usambazaji chanjo wa COVAX kwa uratibu wa Umoja wa Afrika

Chanjo hizo zimewasili nchini Tanzania kwa shirika la ndege la Emirates na Kupokelewa na Waziri wa Afya Dk Dorothy Gwajima, Waziri wa Mambo ya Nje Balozi, Liberata Mulamula pamoja na Balozi wa Marekani nchini #Tanzania Donald Wright katika Uwaja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.