Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Balozi wa kutangaza utalii ambae pia ni mshabiki wa timu ya Taifa Stars Nicholas Reynolds [Bongo Zozo] wakati alipofika Baraza la wawakilishi Chukwani kufuatia mualiko wa mhe Suleiman Makame Ali Mwakilishi wa jimbo la Ziwani.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment