Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zubeir Ali Maulid akisalimiana na Balozi wa kutangaza utalii ambae pia ni mshabiki wa timu ya Taifa Stars Nicholas Reynolds [Bongo Zozo] wakati alipofika Baraza la wawakilishi Chukwani kufuatia mualiko wa mhe Suleiman Makame Ali Mwakilishi wa jimbo la Ziwani.
WEMBE, ASKARI MGAMBO MIKONONI MWA POLISI, SAKATA LA DKT. KAWAMBWA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
JESHI la Polisi Mkoani Pwani, limewakamata Diwani wa kata ya Kiromo Mstaafu
Hassan Wembe na Askari Mgambo Abdallah Mgeni na baadae...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment