RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtuliza Mama Anna Philipo mkaazi wa Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi mwenye mgogoro wa Nyumba yeke kutakiwa kuvunjwa,ambapo tayari hatua za kutatua tatizo hilo likifanyiwa kazi .[Picha na Ikulu] 29/09/2021.
MO DEWJI: NIMETUMIA BILIONI 87 KWA AJILI YA SIMBA SC
-
Na Bakari Madjeshi, Michuzi TV
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji)
amethibitisha kuwa kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024 ame...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment