RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimtuliza Mama Anna Philipo mkaazi wa Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi mwenye mgogoro wa Nyumba yeke kutakiwa kuvunjwa,ambapo tayari hatua za kutatua tatizo hilo likifanyiwa kazi .[Picha na Ikulu] 29/09/2021.
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment