Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania , Ikulu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania  Mhe.Binaya  Srikanta  Pradhan wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania  Mhe.Binaya  Srikanta  Pradhan wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Balozi Mdogo  ayefanyia kazi Zanzibar Mhe.Bhagwant Singh, (kushoto).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimsikiliza  mgeni wake  Balozi wa India nchini Tanzania  Mhe.Binaya  Srikanta  Pradhan wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar  alipofika kujitambilisha.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika picha na mgeni wake   Balozi wa India nchini Tanzania  Mhe.Binaya  Srikanta  Pradhan baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha.[Picha na Ikulu] 16/09/2021. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.