Katibu
wa Tume ya Utumishi wa Umma Mathew Modest Kilama akiwa na Balozi wa Tanzania
nchini Korea ya Kusini Togolani Edriss Mavura wakila Kiapo cha Uadilifu kwa
Viongozi wa Umma Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Balozi
Togolani Edriss Mavura kuwa Balozi wa Tanzania nchini Korea ya Kusini katika
hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mathew
Modest Kilama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla fupi
iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 27
Septemba, 2021
No comments:
Post a Comment