Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amekutana na Kuzungumza na Ujumbe wa Wadhamini wa Tamasha la Sea Food Festival.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wadhamini wa Tamasha la Sea Food Festival linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii katika Mkoa wa Kaskazini Unguja na (kulia kwa Rais)  Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud  na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Afisa Mkuu wa Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya NMB.Bw.Benedicto Baragomwa, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Afisa Mkuu wa Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya NMB.Bw.Benedicto Baragomwa, akizungumza na kutowa maelezo ya ufadhili wa Tamasha la Sea Food Festival, linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii baada ya kukamilika kwa  maandalizi yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wadhamini wa Tamasha la Sea Food Festival Zanzibar linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, baada ya kupokea taarifa ya kukamilika kwa Tamasha hilo iliowasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud, katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
Baadhi ya Wadhamini wa Tamasha la Sea Food Festival Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo na kupokea taarifa ya maandalizi ya Tamasha hilo iliowasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud. katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wadhamini wa Tamasha la Sea Food Festival linalotarajiwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii katika Mkoa wa Kaskazini Unguja, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Wadhamini wa Tamasha la Sea Food Festival Zanzibar, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Benki ya NMB Tanzania wakiwa wadhamini wakubwa wa Tamasha la Sea Food Festival Zanzibar linalotarajiwa kufanyika mwinshoni mwa wiki hii katika Mkoa wa Kaskazini Unguja. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.