RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakati akindoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea Mkoani Dodoma kuhudhuria Uzinduzi wa Wiki ya Sheria. Inayotarajiwa kufanyika kesho Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla wakati akindoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea Mkoani Dodoma kuhudhuria Uzinduzi wa Wiki ya Sheria. Inayotarajiwa kufanyika kesho Jijini Dodoma.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment