Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Anthony Mtaka ,Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana pamoja na
viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma
akitokea mkoani Dar es salaam leo tarehe 8 Juni 2022.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment