Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka ,Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana pamoja na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma akitokea mkoani Dar es salaam leo tarehe 8 Juni 2022.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment