Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Anthony Mtaka ,Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana pamoja na
viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma
akitokea mkoani Dar es salaam leo tarehe 8 Juni 2022.
Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Zanzibar Yampongeza Mhe.Dk.Mwinyi kwa Kutunukiwa TUZO
-
Na.Is-haka Omar - Zanzibar.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimempongeza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi *Dk. Hussein Ali Mwiny...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment