Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Anthony Mtaka ,Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana pamoja na
viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma
akitokea mkoani Dar es salaam leo tarehe 8 Juni 2022.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment