Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Anthony Mtaka ,Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Pindi Chana pamoja na
viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma
akitokea mkoani Dar es salaam leo tarehe 8 Juni 2022.
VETA YALETA NEEMA KWA WAFANYAKAZI MAJUMBANI
-
*Wafanyakazi 700 wapata mafunzo vyuo vya VETA
Na Mwandishi Wetu
Wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti
na Mamlaka ya E...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment