Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Kongamano la
Wafanyabiashara wa Tanzania na Oman lililofanyika katika eneo la Kasri ya Al
Bustan Muscat nchini humo
Wafanyabiashara kutoka
Tanzania na Oman pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali wakiwa katika Kongamano
la Biashara lililofanyika katika eneo la Kasri ya Al Bustan Muscat
nchini humo
Wafanyabiashara kutoka
Tanzania na Oman pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali wakiwa katika Kongamano
la Biashara lililofanyika katika eneo la Kasri ya Al Bustan Muscat
nchini humo
No comments:
Post a Comment