Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea taarifa ya utekelezaji wa operesheni ya anwani za makazi kutoka kwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye, Katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Juni 18,2022
Wa ziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji wa operesheni anwani za makazi, Katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, Juni 18,2022
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment