Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla Amefungua Kituo cha Mafunzo ya Utalii Michamvi Kae

 

Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar  Mhe . Hemed Suleiman Abdulla akikata utepe kuzindua kituo cha kutoa mafunzo ya utalii , Zenji Centre  of  Excellence for Tourism (ZCET)  huko Michamvi Kae.
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar  Mhe . Hemed Suleiman Abdulla na  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhammed Mussa  wakisiliza maelezo kuhusu kituo cha kutoa mafunzo ya utalii kwaajili ya kupata ujuzi  (ZCET) kutoka kwa Meneja wa Mradi  huo  Talal Aturkan wakati wa uzinduzi wa kituo hicho huko hoteli ya Sansi Kae Beach resort Michavi Mkoa wa kusini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar  Mhe . Hemed Suleiman Abdulla na  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhammed Mussa  wakisiliza maelezo kuhusu kituo cha kutoa mafunzo ya utalii kwaajili ya kupata ujuzi  (ZCET) kutoka kwa Meneja wa Mradi  huo  Talal Aturkan wakati wa uzinduzi wa kituo hicho huko hoteli ya Sansi Kae Beach resort Michavi Mkoa wa kusini Unguja.
Mwenyekiti wa kituo cha kutolea mafunzo ya Utalii Zenji Centre of Excellence for Tourism ( ZCET) Mhe.Taufiq Turkey akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kituo hicho  huko hoteli ya Sansi Kae Michavi Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja Mhe. Rashid Hadid Rashid akitoa salam za Mkoa wakati wa  hafla ya uzinduzi wa kituo cha kutoa mafunzo ya utalii ZCET huko hoteli ya Sansi Kae Beach Resort Michavi Mkoa wa kusini Unguja
Makamu wa Pili wa Rais Mhe . Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na wadau wa Utalii wakati akizindua kituo cha kutolea mafunzo ya Utalii huko Michamvi Kae Mkoa wa Kusini Unguja


Wadau wa Utalii wakifuatilia hafla ya uzinduzi wa kituo cha kutoa mafunzo ya utalii (ZCET) uliyofanyika katika  Hoteli ya Sansi Kae Beach resort Michavi Mkoa wa kusini Unguja. 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhammed Mussa  akibadilishana mawazo na  Mwenyekiti wa Zenji Centre  of  Excellence for Tourism (ZCET) Mhe.Taufiq Turkey  wakati wa uzinduzi wa kituo hicho huko Kendwa Kae 
Picha na Fauzia Mussa –MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.