Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na Jumuiya ya watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani, Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiaganana viongozi wa Jumuiya ya watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani, mara baada ya Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York.
No comments:
Post a Comment