Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango Azungumza na Watanzania Wanaoishi New York Marekani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na Jumuiya ya  watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani, Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York.





Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiaganana viongozi wa Jumuiya ya  watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani, mara baada ya Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.