Habari za Punde

Waandishi wa Habari Unguja Wajengewe Uwezo Kuelewa Maradhi Surua

Meneja  kitengo cha Elimu ya Afya Kwa umma  Zanzibar Hamad Bakar Magarawa akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari kuhusiana na idadi ya wagonjwa wa Surua Zanzibar  huko Ofisini kwake Sogea
Waandioshi wa habari wa vyombo mbalimbali Unguja wakifuatilia Mada ikiwasilishwa na Meneja  kitengo cha Elimu ya Afya Kwa umma  Zanzibar Hamad Bakar Magarawa akitoa taarifa Kwa vyombo vya habari kuhusiana na idadi ya wagonjwa wa Surua Zanzibar  huko Ofisini kwake Sogea

Muhamasishaji Kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma  Asya Sleiman akiwasilisha mada kuhusu UVIKO 19 Kwa Waandishi wa Habari wakati wa mafunzo ya kuwajengea uelewa juu ya maradhi hayo huko Ofisi za elimu ya Afya Kwa umma Sogea  Zanzibar.

PICHA NA FAUZIA MUSSA-MAELEZO ZANZIBAR 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.