Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika tarehe 28 Oktoba, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM wakiwa kwenye kikao kilichjopongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu Chamwino Dodoma
No comments:
Post a Comment