Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi afungua skuli ya ghorofa Makangale Kaskazini Pemba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Skuli ya Sekondari ya Makangale Kaskazini Pemba Iliyojengwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Fedha za Uviko 19 kupitia Shirika le Fedha Duniani IMF,katika maadhimisho ya Sherehe  za shamra shamra za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/01/2023.


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akikata utepe kiufungua  Skuli ya Sekondari ya Makangale Kaskazini Pemba Iliyojengwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Fedha za Uviko 19 kupitia Shirika le Fedha Duniani IMF,katika maadhimisho ya Sherehe  za shamra shamra za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/01/2023.


Wanafunzi wa Skuli ya Makangale wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi  (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na  Viongozi,Wananchi wa Vijiji vya Wilaya ya Micheweni  wakati wa ufunguzi  Skuli ya Sekondari ya Makangale Kaskazini Pemba Iliyojengwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa Fedha za Uviko 19 kupitia Shirika le Fedha Duniani IMF,katika maadhimisho ya Sherehe  za shamra shamra za miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar .[Picha na Ikulu] 02/01/2023

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.