Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa Masuala ya Kilimo na Chakula ambao uliwahusisha Wadau wa Makampuni mbalimbali pamoja na Wawekezaji, Dakar nchini Senegal tarehe 25 Januari, 2023. Katika Mkutano huo ambao Tanzania ilikuwa Mwenyeji, Mhe. Rais Samia aliambatana na baadhi ya Mawaziri pamoja na wakuu wa Taasisi Mbalimbali
Elimu : Tazama Hapa Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba 2025
-
Maktaba: Picha kwa Hisani ya Gadiola Emanuel - Hady Class 7 Mwaka 2017
Bofya Hapa Kutazama Matokeo
MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025
Wazal...
3 hours ago



No comments:
Post a Comment