Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Aendelea na Ziara Yake Mkoa wa Mjini Kichama

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa CCM alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Amani Mkoa wa Mjini Kichama,kuaza kwa ziara yake katika leo 14-5-2023 kukagua mali za Chama na kuimarisha Chama cha Mapinduzi

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Taarifa ya Mali za Chama kabla ya kuaza kwa ziara yake kukagua Mali za Chama cha Mapinduzi katika Mkoa wa Mjini Kichama leo 14-5-2023,akikabidhiwa na Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Salum Suleiman Tate (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa 
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Salum Suleiman Tate akiwasilisha taarifa za Mali za Chama katika Mkoa wa Mjini Kichama kabla ya kuaza kwa ziara yake kukagua Mali za Chama katika eneo la Amani leo 14-5-2023, na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Talib Ali Talib.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea na kukagua Mali za Chama Cha Mapinduzi katika Mkoa wa Mjini Kichama, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo leo 14-5-2023 akitembelea eneo la Amani CCM Mkoa na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa na Makamu Mwenyekiti wa Wazazi Bi. Dogo Iddi Mabrouk
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea na kukagua Mali za Chama Cha Mapinduzi katika Mkoa wa Mjini Kichama, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo leo 14-5-2023 akitembelea eneo la Amani CCM Mkoa na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg.Talib Ali Talib na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrissa Mustafa Kitwana na Makamu Mwenyekiti wa Wazazi Bi. Dogo Iddi Mabrouk.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa ziara yake kukagua Mali za Chama katika eneo la Amani CCM Mkoa leo 14-5-2023 na maendeo mbalimbali ya Mkoa wa Mjini Kichama.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea na kukagua Mali za Chama Cha Mapinduzi katika Mkoa wa Mjini Kichama, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo leo 14-5-2023 akitembelea eneo la Amani CCM Mkoa na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na (kushoto kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa Wazazi Bi. Dogo Iddi Mabrouk.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.