Mshambuliaji wa Timu ya KVZ akiwapita mabeki wa Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya 0-0.
Elimu : Awamu ya Sita Yaipiga Jeki Elimu, Walimu Wapongezwa Arusha
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya
maboresho makubwa katika sekta ya elimu mkoani Aru...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment