Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/24 Kati ya Mlandege na KVZ Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu Hizo Zimetoka Sare ya 0-0

Mshambuliaji wa Timu ya KVZ akiwapita mabeki wa Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya 0-0.










 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.